Flova anasema malengo yake ni kufanya kazi ya mziki kimataifa, na mziki kuwa katika hali ya kibiashara zaidi. anaomba sapoti toka kwa mashabiki wake wa ndani na nje ya nchi,ingali akiwa bado msanii mchanga lakini Mkoani Njombe aonekana kukonga mioyo ya mashabiki mpaka kufananishwa na mwanamziki wa nchini Marekani ajulikanae kama Neyo kutoka uimbaji hadi mavazi.

Comments