Posts

Showing posts from July 9, 2015

UNICEF, watoa scholarships ya masters ya MBA online

http://www.unicaf.org/UNIC/Tanzania&utm_source=facebook&utm_medium=cpc&utm_campaign=FBCPM-UNIC-Tanzania-Generic-MBA
Image
Flova anasema malengo yake ni kufanya kazi ya mziki kimataifa, na mziki kuwa katika hali ya kibiashara zaidi. anaomba sapoti toka kwa mashabiki wake wa ndani na nje ya nchi,ingali akiwa bado msanii mchanga lakini Mkoani Njombe aonekana kukonga mioyo ya mashabiki mpaka kufananishwa na mwanamziki wa nchini Marekani ajulikanae kama Neyo kutoka uimbaji hadi mavazi.

Msanii chipukizi wa mziki wa kizazi kipya mkoani Njombe ajulikanae kama Flova aeleza malengo yake kimziki.

Image