Flova anasema malengo yake ni kufanya kazi ya mziki kimataifa, na mziki kuwa katika hali ya kibiashara zaidi. anaomba sapoti toka kwa mashabiki wake wa ndani na nje ya nchi,ingali akiwa bado msanii mchanga lakini Mkoani Njombe aonekana kukonga mioyo ya mashabiki mpaka kufananishwa na mwanamziki wa nchini Marekani ajulikanae kama Neyo kutoka uimbaji hadi mavazi.

Comments

Popular posts from this blog

WAFAHAMU WACHAGA NA TAMADUNI ZAO

Je!!!!!! unapenda kufahamu SANDUKU LA AGANO LIKO WAPI?????????

Ndio maana waoaji miaka hii ni wachahe!!!!!hizi ni sababu tosha ebu soma hapa kama umejipanga kuoa.